top of page

Mashambulizi yapamba moto Yemen

  • Writer: sembula
    sembula
  • Sep 6, 2015
  • 1 min read

Ripoti kutoka nchini Yemen zinasema kuwa muungano unaongozwa na Saudi Arabia umefanya mashambulizi ya angani kwenye mji mkuu wa nchi hiyo Sanaa, siku mbili baada ya shambulizi la waasi lililowaua wanajeshi 60.

Walioshuhudia walisema kuwa mashambulia hayo yalilenga ngome za waasi wa Houthi na vikosi vilivyo watiifuu kwa rais wa zamani Ali Abdullah Saleh.

Ripoti zingine kutoka hospitali za mji wa Sanaa zilisema kuwa zaidi ya raia 20 wameuawa kwenye mashambulizi hayo.


 
 
 

Comments


RECENT POSTS:
SEARCH BY TAGS:

© 2023 by NOMAD ON THE ROAD. Proudly created with Wix.com

  • b-facebook
  • Twitter Round
  • Instagram Black Round
bottom of page