top of page

Mafuriko yaua 20 Dominica

  • Writer: sembula
    sembula
  • Aug 29, 2015
  • 1 min read

Waziri mkuu nchini Dominica anasema kuwa watu 20 wanariporitiwa kuaga dunia kwenye mafuriko yaliyosababishwa na kimbunga Erika.

Kwa njia ya televisheni Roosevelt Skerrit alisema kuwa mamia ya nyumba, madaraja na barabara vimeharibiwa na kisiwa hicho kumerudishwa nyuma miaka ishirini.

Kimbunga kwa sasa kinazikumba Haiti na Jamhuri ya Dominica kikiwa na upepo unaovuma kwa kasi ya karibu kilomita 85 kwa saa.

Watabiti wa hali hewa wanaseme kuwa hata hivyo kinaonyesha dalili za kupoteza nguvu zake.


 
 
 

Comments


RECENT POSTS:
SEARCH BY TAGS:

© 2023 by NOMAD ON THE ROAD. Proudly created with Wix.com

  • b-facebook
  • Twitter Round
  • Instagram Black Round
bottom of page